Tangazo

Tangazo

NEEMA GASPA KUACHIA ALBAMU MPYA YA NI SHUJAA...

Jumatatu, 16 Septemba 2013

STELLA JOEL APATA MUME MWEMA KUTOKA KWA BWANA...!!!!


PICHA ZIMEPIGWA NA RUMAFRICA +255 715851523

Mungu ni mwema na ni Mungu wa vitendo. Baada ya maombezi makali ya kila mtu kumtafuta yule ampendae, Mungu aliweza kujibu kilio cha Stella Joel na mpenzi wake Yerimo kwa kufanikisha ndoa yao iliyofungwa katika kanisa la Pentecostal Holiness Mission Light House Christian Center Ubungo na tafrija kufanyika katika ukumbi wa Mawasiliano Ubungo jijini Dar esa Salaam siku ya jumamosi

UNAWEZA KUWASILIANA NA STELLA JOEL KWA SIMU HII  +255 756 846166 
AU +255715 049143


Stella Joel kutoka Bukoba (Mhaya)

Yerimo kutoka Iringa (Mhehe)

Bloga wenu Rulea Sanga aliyehusika ipasavyo kukuletea habari hizi na kupiga picha

MATUKIO KATIKA PICHA
SEHEMU YA KWANZA

WAKIANDAA SURA ZAO NA MAVAZI YAO





STELLA JOEL AKIELEKEA KANISANI AKITOKEA SALOON

Mwimbaji wa nyimbo za injili Madam Rutiu ndiye aliyekuwa dereva wa Bwana na Bibi Harusi


MAENEO YA KANISANI





WAZAZI WAKIMRUSHU BIBIU HARUSI KUPOKELEWA NA BWANA HARUSI KANISANI



Kulia ni mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania Orida Njole


Kulia ni mwimbaji wa nyimbo za injili, Janet Mrema
Mwimbaji wa nyimbo za injili Tanzania, John Shabani


Mchungaji Mwasota
Mchungaji Mwasota akiangalia pete kwa makini kabla hajawakabidhi Bwana Harusi na Bibi Harusi kuvishana



v




KIPINDI CHA KUMPONGEZA MAHARUSI BAADA YA KUVISHANA PETE NA KUSAINI





Mdogo wake na Stell Joel (kulia)


KIPINDI CHA KUFUNGA IBADA-KANISANI




WAKATI WA KUELEKEA UKUMBINI ULIFIKA NA SASA SAFARI IMEANZA


 MATUKIO YA UKUMBINI ENDELEA KUTEMBELEA BLOGU HII

MUNGU WANGU NA AKUBARIKI SANA


KAMA UNAHITAJI HUDUMA YA PICHA WASILIANA NAMI KWA SIMU +255 715 851523



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...