Tangazo

Tangazo

NEEMA GASPA KUACHIA ALBAMU MPYA YA NI SHUJAA...

Ijumaa, 4 Julai 2014

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI MESS JACOB CHENGULA ATOA HISTORIA FUPI YA MAISHA YAKE NA KUWATAKA WANAOHITAJI USHAURI WA MAFANIKIO WAMUONE

Ukiamua unaweza nikikupa historia yangu kwa ufupi nimezaliwa katika kijiji cha Makangalawe mkoani Iringa wilaya ya Makete. Elimu yangu darasa 7 nilihitimu shule ya msingi nilimwomba baba yangu mtaji baba bila hiana akanipa 30000 nikaenda mji mdogo Makambako nikiwa machinga na uza vitu stand na mwaka nilio pewa mtaji ili 1999 kwakuwa moyo wangu ulikuwa nikufanya biashala nilifanya kazi usiku na mchana na kila fulusa iliyo tokea mbele yangu nilitumia nakumbuka mwaka 2001 nikiwa na miaka 16 nilifanikiwa kukopa mkopo benki ya NMB wakati inabidi uwe na miaka 18 nilipata nikafanya biashara vizuri nikwambie tu mwaka 2003 tayali nilikuwa na hela nyingi nilikuwa na maduka mawili gari ndogo ya kutembelea japo badala ya kadi nilipewa kalatasi tu nikawa na vyombo vya disko kimsingi ndani ya miaka 4 ya mtaji wa 30,000 niliweza kufikia 5,000,000 kwakifupi najuwa hum fb kunawatu wengi ila nataka mtu anaye Taka kufanya biashara na hajiamini anitafute nimpe mbinu jinsi ya kufikia malengo yake nimeishia mwaka 2003 bado kuna shida nyingi hapa kati nimepitia ukiwa kuishiwa kwa uzembe nanini nahitaji kumsaidia mtu mmoja ambaye anaona yuko tayari kufanya biashara.
Mess Jacob Chengula akiwa China

Naomba mnielewe sihitaji Mtu anayesema anaweza au anapenda biashara ninachotaka mimi ukitaka nikupe ushauri kwanza kabisa unaanza kutaja uko mkoa gani na unafanya biashala gani na changa Moto unayo ipata ndipo naweza kupa ushauli kwakile ulicho uliza au kwa mfano mess naomba ushauli sija wahi fanya biashara nina hela yangu mil 1000000 nataka kufanya biashala au mess nina biashara lakini naona kama duka langu halikuwi nifanyaje ndo nataka ushauri huo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...