Tangazo

Tangazo

NEEMA GASPA KUACHIA ALBAMU MPYA YA NI SHUJAA...

Jumamosi, 12 Julai 2014

MKURUGENZI WA RUMAFRICA RULEA SANGA AMEFIWA NA SHEMEJI YAKE MBEYA USIKU

Rulea Sanga ambaye ni mkurugenzi wa blogu hii siku ya jana akiwa na masikitiko makubwa sana baada ya kupata taarifa kutoka kwa mtoto wa kaka yake, Furaha Sanga usiku wa kuamkia  jumamosi 12/07/2014 ya kwamba shemeji yake aliyekuwa akimuuguza Muhimbili amefariki dunia.

Rulea Sanga baada ya kupata habari za kifo cha shemeji yake nyumbani kwake Sinza

Mgonjwa huyo ameugua kwa muda mrefu kidogo kwa ugonjwa wa kansa ya mifupa na koo. Ugonjwa huu ulimtesa sana na mpaka ikalazimika kumleta Muhimbili Dar es Salaam. Hali ake ilizidu kuwa mbaya kila kuitwapo leo, na mwisho wa siku madaktari wakaamua kumruhusu aende nyumbani kwani ilionekana ni ngumu sana kumtibu.

Wanafamilia walilzimika kumsafirisha mgonjwa mpaka mkoani Mbeya ambako ni nyumbani wa marehemu. Na leo hii amefariki dunia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...