Tangazo

Tangazo

NEEMA GASPA KUACHIA ALBAMU MPYA YA NI SHUJAA...

Alhamisi, 30 Januari 2014

GLORIOUS WORSHIP TEAM WAKIHUDUMIA AFYA ZAO KWA MISOSI

GWT ni kundi la waimbaji wa nyimbo za injili Tanzania, ni vijana walioamua kumtumikia Mungu kwa akili zao na mali zao wakiwa bado vijana. Huduma yao ya uimbaji imefanyika baraka kubwa sana kwa walio wengi waliobahatika kusikia au kuwaona wakimtumikia Mungu. Hakika ukiwaona hawa vijana utatamani kuwaona tena na tena kwa wema wao na ukarimu wao. Watanzania tuna bahati kubwa sana kutoka kwa Mungu kwa kile Mungu ameweka ndani ya waimbaji hawa. Kundi lao limesikika Afrika Mashariki kwa matunda yao, wamekuwa wakipata miaaliko mengi sana kwaajili ya kuhudumia mioyo ya watu. Tunawaombea maisha mema na Mungu azidi kulidumisha kundi lao.

Baadhi ya waimbaji wa GWT wakiwa Sinza Mori wakipata msosi wa mchana

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...