Tangazo

Tangazo

NEEMA GASPA KUACHIA ALBAMU MPYA YA NI SHUJAA...

Jumatatu, 27 Januari 2014

TAMASHA KUBWA LA KWANZA LA KUSIFU NA KUABUDU KWA MWAKA 2014 LAFANA .

TAMASHA kubwa la kwanza la kusifu na kuabudu kwa mwaka 2014 Lafana .Tamasha hilo ambalo hufanyika kila jumapili ya mwisho mwezi lilifanyika jumapili iliyopita (26.01.2014) pale Dar es Salaam Pentecoste Church ( DPC) .

Lilijumuisha wasanii kadhaa wa nyimbo za injili akiwemo John Lisu na kwaya ya rivers of life ya DPC .
Pata habari zaidi kwa njia ya picha .

Mc Boniface & Joyce M wa DPC : 

Sehemu ya kwaya ya Rivers of life wakiwa jukwaani .





Picha kwa hisani ya DPC na Worshipers family Tanzania
Imetayarishwa na Erasmus Augustine.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...