Tangazo

Tangazo

NEEMA GASPA KUACHIA ALBAMU MPYA YA NI SHUJAA...

Jumatatu, 27 Januari 2014

SIKU YA UZINDUZI WA ALBAMU YA MUNGU HABADILIKI IMEKARIBIA SASA...JIANDAE ILI USIKOSE

Siku zinasonga mbele na ile siku inayosubiriwa na walio wengi ya kumtukuza Mungu imekaribia. Ni muda wako sasa wa kujiwekea kiingilio chako pembeni ili siku ikifika usipate shida ya kujumuika na wenzako katika kumuinua huyu Bwana Yesu Kristo kwa kupitia uzinduzi huu wa kipekee na fungua mwaka.

Mess Jacob Chengula akitoa zawadi ya soda kwa watoto walioachwa na ndugu zao katika mazingira tatanishi. Tour hii iliandaliwa na wanafunzi wa Ustawi wa Jamii (Social Club Tour)
Mess Jacob Chengula amekuwa akishiriki katika madhabahu mbalimbali kumwimbia Mungu wetu. Na amekuwa karibu sana na jamii kwa kutoa misaada mbalimbali katika sehemu mbalimbali. Ngudu yangu na jamaa yangu usikose kabisa siku ya tarehe 02 Machi 2014 saa 6 mchana kwa kiingilio cha 10,000 VIP na viti  vya kawaida ni 5,000 tu ya Kitanzania
Kutakuwa na waimbaji ishirini kuvamia stage moja wakitumia MIC moja na ukumbi moja katika kuzindua albamu moja ya mtumishi wa Mungu mmoja, Mess jacob Chengula

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...