Tangazo

Tangazo

NEEMA GASPA KUACHIA ALBAMU MPYA YA NI SHUJAA...

Jumamosi, 1 Machi 2014

HATIMAYE SIKU TULIYOKUWA TUKISUBIRI IMEWADIA KATIKA UZINDUZI WA ALBAMU YA MUNGU HABADILIKI YA MTU WA MUNGU MESS JACOB CHENGULA...

Nimeaamini kuwa kila jambo lina mwanzo na mwisho. leo Jumapili imefika siku ya kumtukuza Mungu kwa njia ya uimbaji katika tamasha la kipekee Ubungo Plaza ambapo mtumishi wa Mungu Mess Jacob atakuwa akizindua albamu yake ya Mungu Habadiliki. Tunakuomba sana kufika bila ya kukosa kwani kutakuwa na baraka za ajabu kwa njia ya uimbaji. Siku ya leo sio ya kukosa katika maisha yako. Karibu sana

MHUSIKA WA TAMASHA
 Mess Jacob Chengula wa Mungu Habadiliki

ALBAMU INAYOZINDULIWA
Albamu ya Mungu Habadiliki ya Mess Jacob Chengula

ENEO LA UZINDUZI NI UBUNGO PLAZA

Katika hotel ya Blue Pearl

MGENI RASMI WA TAMASHA HILI

Mgeni rasmi ni Naibu Waziri wa mawasiliano Tanzania Mh Januari Makamba

WAIMBAJI WATAKAIMBA SIKU YA LEO JUMAPILI UBUNGO PLAZA

Rose Muhando

Masanja Mkandamizaji

Atosha Kissava

Bony Mwaitege

Upendo Nkone

Silas Mbise

Neema Gasper

Edson Mwasabwite

Madamu Ruti

Faraja Ntaboba

Bahati Bukuku

Mwanamapinduzi

Stella Joel


Enock

Miriamu Lukindo

Joshua Makondeko

VIINGILIO
VIP



VITI VYA KAWAIDA


WATOTO


TANGAZO LIMETENGENEZWA NA RUMAFRICA



Tembelea
www.messchengula.blogspot.com
www.rumaafrica.blogspot.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...