Tangazo

Tangazo

NEEMA GASPA KUACHIA ALBAMU MPYA YA NI SHUJAA...

Jumatatu, 15 Julai 2013

ALBAMU YA SHUJAA ANAZIDI KUAANGWA NA VIUNGO VITAMU TAYARI KUZINDULIWA UBUNGO PLAZA


Tumeona matamasha mengi sana, tumeona waimbaji wengi sana, tumebarikiwa sana na uimbaji, tumeona watu wenye vipaja na karama za ajabu sana hapa duniani. Lakini hujawahi kuona hiki ambacho Mungu amekiweka kwa mwimbaji huyu wa nyimbo za injili Tanzania Neema Gaspa.

Umefika wakati wangu na wewe kufurahi na kubarikiwa na ujumbe moto moto kutoka kwa Neema Gaspa. Yaani sipati picha UBUNGO PLAZA patakuwaje siku ya 01/09/2013 mida ya saa 7:00 mchana. Kwa haraka haraka kuna watumishi wa Mungu watakaomsindikiza Neema Gaspa, baadhi yao ni kama Rose Muhando, Bahati Bukuku, Ambwene Mwasongwe, Evelyn, Enock Jonas wa Zungukazungua ,na wengine weng. Kwa kweli hapatakalika

Mtapata kumuona na mzee wa matukio (Paparazi la Yesu) kutoka Rumafrica likiwa busy na kurusha matukio LIVE katika mitandao

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...