Tangazo

Tangazo

NEEMA GASPA KUACHIA ALBAMU MPYA YA NI SHUJAA...

Ijumaa, 19 Julai 2013

NEEMA GASPA ATAHUDUMU KATIKA SEMINA ILIYOANDALIWA NA MCHUNGAJI JOYCE MUTALEMWA



Mwimbaji wa Nyimbo za Injili amesema na Rumafrica ya kuwa leo atakuwa anahudumu katika Semina iliyoaandaliwa na Mchungaji Joyce Mutalemwa katika maeneo ya Moroco hapa jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8:00 mchana na kuendelea.

Neema Gaspa

Kumbuka ya kuwa Neema Gaspa anatarajia kuzindua albamu yake ya inayoenda kwa jina la SHUJAA katika ukumbi wa UBUNGO PLAZA tarehe 01.09.2013. Katika tamasha hili kutakuwa na mgeni rasmi Mh. Samwel Sitta. Pia kutakuwa na waimbaji kama Rose Muhando, Evelyn, Ambwene Mwasongwe, Bahati Bukuku, Enock wa Zungukazunguka, Apostle Gideon Mutalemwa, Mwanamapinduzi, Martha Mwaipaja na wengine wengi.

Kiingilio kwa watoto ni Tshs. 2,000, Viti vya kawaida Tshs. 5,000 na VIP ni Tshs. 10,000
Wote Mnakaribishwa

kwa maelezo zaidi tembelea www.neemagaspaa.blogspot.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...