Tangazo

Tangazo

NEEMA GASPA KUACHIA ALBAMU MPYA YA NI SHUJAA...

Alhamisi, 15 Agosti 2013

ASKOFU MWANAMKE WA KANISA LA LA KILUTHERI MAREKANI APATIKANA...!!!


Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Marekani (ELCA) tarehe 14/08/2013 limemchagua Bi. Elizabeth Eaton kushika nafasi ya uaskofu mkuu, alipata kura 600 dhidi ya anayemaliza muda wake Askofu Mark Hanson, ambaye alipata 287.

Askofu Eaton, ambaye ni Askofu wa ELCA Cleveland, ni mama na mke wa Mchungaji Conrad Selnick. Mtumishi Eaton anaungana na Askofu Jefferts Schori Katharine, ambaye mwaka 2006 alikuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuliongoza kanisa la Anglikana duniani.
Eaton ataongoza kanisa kwa miaka sita (6) kuanzia mwezi Novemba mwaka huu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...