Tangazo

Tangazo

NEEMA GASPA KUACHIA ALBAMU MPYA YA NI SHUJAA...

Jumatatu, 3 Februari 2014

NAPE NNAUYE AMTANGULIZA MUNGU KATIKA KAZI ZAKE


Kiongozi wa Kanisa la Living Water Centre Apostle Onesmo Ndegi alimuasa Nape Nnauye Katibu Mwenezi wa Itikadi wa Chama Cha Mapindizi (CCM) hivi karibuni Kanisani kawe kiongozi huyo alipohudhulia Ibada kuambiwa kumtanguliza Mungu Katika Shughuli zake za Kisiasa.

Nape ambaye ameokoka alitakiwa kuonekana tofauti na Viongozi wengine katika kufanya maamuzi hadi mambo wanayofanya huko katika chama Chao alisema Apostle Ndegi.

Baada ya Ibada Apostle Ndegi na wachungaji wengine kanisani hapo walipata kumuombea Nape ili Mungu ahusike naye katika shughuli za Kichama atakapo kuwa.







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...